AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nuh Amesema huyu wa sasa amekuja na gia kubwa sana kiasa anaamini anampenda kwa dhati, amempa sifa kuwa ni mwanamke anayependa marafiki zake sana tofauti alivyokuwa shilole...
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mara hii kuchora tatoo na mtu hata humjui vizuri hayo siyo mapenzi ya kweli
ReplyDeletetatoo sio issue. muhimu mapenzi ya kweli. mdumu kwenye mahusiano muwe na future!!!!
ReplyDeleteHuo mwili sijui una hali gani ulivyouchafua na mawino hayo khaa vijana mna kazi
ReplyDeleteVIJANA ACHENI JAMANI PENZI LENYEWE NDIO KWANZA LINA MIEZI MITATU IVI MSHAJUANA TABIA KWELI? UNA HAKIKA MTADUMU? MIEZI 3 NI MICHACHE SANA KUTAZAMANA KATIKA MAPENZI, MWAWEZA KUWA WOTE WAPITA NJIA TU
ReplyDelete