PICHA:Muonekano Mpya wa Rapa Chidi Benz Baada ya Wiki Zaidi ya 20 Sober House.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chid Benz
Hizi ni post mbili kutoka instagram za kituo cha Clouds Media kuhusu muonekano mpya wa mwanii wa hiphop Tanzania Chid Benz.

Picha za post hizi ziliambatana na Ujumbe wenye maneno haya ” Muonekano mpya wa Chidi Benz Chuma…@CloudsTv pekee inakuonyesha safari za mwana harakati @Kalapina kwenye hatua za kusaidia vijana kuachana na janga la dawa za kulevya kwenye show ya #Harakati. #HarakatiNiVitendo “

Chidi Benz ni msanii aliyepata msaada mkubwa kutoka kwa meneja wa Diamond Platnumz mpaka kupelekea rapa huyu kukubali kwenda kupata matibabu baada ya kuwa mtumiaji wa dawa za kulevya wa muda mrefu jambo ambalo lilimrudisha nyuma kimuziki na maendeleo pia.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. sawa asanteni,, lakini msizidishe sana hizo dawa zenu za kuwajaza upepo atamfikia ray c sasa hivi! inatosha asante babu tale!

    ReplyDelete

Top Post Ad