AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema uamuzi huu ameufikia baada ya kupitia maamuzi mbalimbali yaliyotolewa na bunge juu ya wabunge ambao walikuwa wanaondoka bila kuchangia mjadala ambapo tarehe 08/04/2008 wabunge wa chama cha CUF walitoka bungeni na kususia shughuli zilizokuwa zimepangwa na kiti kilitoa uamuzi wa kutowalipa posho kwa siku zote watakazokuwa nje
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Uamuzi na sawa kabisa!! Bunge aliyeshindwa kujua sababu ya yeye kuwa hapa bungeni ni sawa na mzururaji ambaye amefika ofisini na ametoka kwa kisingizio cha kwenda kufafuta dili nje za maisha. ambayo huo ulikuwa ni mwendo wa kawaida hapo awali. watu walikuwa hawawajibiki inavyo paswa ndiyo tukaishia katika kila mbinu za kubuni na kuleta kila mbinu za hewa na mchi ikaingia katika uvumbuzi wa HEWA kila unapo kwenda . na sasa wabunge wanaoitwa waheshimiwa wanajaribu kuthibitisha kwamba na wao pia Hewa ni mrindo wa maisha... Tunasema TUMELIKATAA HILO!!! Wajibika / Aminika/ uwena ubunifu wa maendeleo / changia/ na wacha siasa hapo.. Kuwa Mzalendo masilahi ya taifa weka mbele kabla ya sera zako na chama chako... Tunachotaka ni Maendeleo bila kujali wewe umetokea wapi katika Dini yako / Kabila yako / na chama chako.. Hili ni Bunge la Taifa na siyo la chama wala kabila.. Tanzania ni Moja na watu wake ni wamoja na wote tunaguswa na adha na miundobinu ambayo hivi sasa Baba JPJM na serikali wamedhamiria na wanawajibika kuona kwamba nchi inabadilika na watu wanarudisha Nidhamu na Uaminifu katika kila nyanja za uwajibikaji kuziboesha kufikia malengo... Tunachoomba ni ushirikiano mwema na Kila mmoja wetu anashirikia ipasavyo katika wadhifa aliokabidhiwa kwa uadilifi na asiwe mbadhirifu na atende haki kwa wote bila kijali vyote tulivyo vikataa kama Undugu/ Urafiki/ Kabila / Dini / Ujamaa...we need performer and achiver with high standard of discipline .. and educated.... ambao watatusaidia katika hii safari... Nia ni njema na muonekano ni mzuri na kasi yake pia inaridhisha na Tunamuombea Baba JPJM na huu mwezi mtukufu mungu akulinde na akupeni afya njema na Mh K.majaliwa muzidi kuktutumikia kwa Ujasiri na Uzalendo mlionao kwa hali ya juu ... Posho zikatwe toka walivyo anza huo Urasimu usio na mashiko ulio jaa chuki na kukosa Uelewa... Dr Tulia Hongera Mama.....Pamoja sana.
ReplyDeleteUamuzi na sawa kabisa!! Bunge aliyeshindwa kujua sababu ya yeye kuwa hapa bungeni ni sawa na mzururaji ambaye amefika ofisini na ametoka kwa kisingizio cha kwenda kufafuta dili nje za maisha. ambayo huo ulikuwa ni mwendo wa kawaida hapo awali. watu walikuwa hawawajibiki inavyo paswa ndiyo tukaishia katika kila mbinu za kubuni na kuleta kila mbinu za hewa na mchi ikaingia katika uvumbuzi wa HEWA kila unapo kwenda . na sasa wabunge wanaoitwa waheshimiwa wanajaribu kuthibitisha kwamba na wao pia Hewa ni mrindo wa maisha... Tunasema TUMELIKATAA HILO!!! Wajibika / Aminika/ uwena ubunifu wa maendeleo / changia/ na wacha siasa hapo.. Kuwa Mzalendo masilahi ya taifa weka mbele kabla ya sera zako na chama chako... Tunachotaka ni Maendeleo bila kujali wewe umetokea wapi katika Dini yako / Kabila yako / na chama chako.. Hili ni Bunge la Taifa na siyo la chama wala kabila.. Tanzania ni Moja na watu wake ni wamoja na wote tunaguswa na adha na miundobinu ambayo hivi sasa Baba JPJM na serikali wamedhamiria na wanawajibika kuona kwamba nchi inabadilika na watu wanarudisha Nidhamu na Uaminifu katika kila nyanja za uwajibikaji kuziboesha kufikia malengo... Tunachoomba ni ushirikiano mwema na Kila mmoja wetu anashirikia ipasavyo katika wadhifa aliokabidhiwa kwa uadilifi na asiwe mbadhirifu na atende haki kwa wote bila kijali vyote tulivyo vikataa kama Undugu/ Urafiki/ Kabila / Dini / Ujamaa...we need performer and achiver with high standard of discipline .. and educated.... ambao watatusaidia katika hii safari... Nia ni njema na muonekano ni mzuri na kasi yake pia inaridhisha na Tunamuombea Baba JPJM na huu mwezi mtukufu mungu akulinde na akupeni afya njema na Mh K.majaliwa muzidi kuktutumikia kwa Ujasiri na Uzalendo mlionao kwa hali ya juu ... Posho zikatwe toka walivyo anza huo Urasimu usio na mashiko ulio jaa chuki na kukosa Uelewa... Dr Tulia Hongera Mama.....Pamoja sana.
ReplyDeleteUamuzi na sawa kabisa!! Bunge aliyeshindwa kujua sababu ya yeye kuwa hapa bungeni ni sawa na mzururaji ambaye amefika ofisini na ametoka kwa kisingizio cha kwenda kufafuta dili nje za maisha. ambayo huo ulikuwa ni mwendo wa kawaida hapo awali. watu walikuwa hawawajibiki inavyo paswa ndiyo tukaishia katika kila mbinu za kubuni na kuleta kila mbinu za hewa na mchi ikaingia katika uvumbuzi wa HEWA kila unapo kwenda . na sasa wabunge wanaoitwa waheshimiwa wanajaribu kuthibitisha kwamba na wao pia Hewa ni mrindo wa maisha... Tunasema TUMELIKATAA HILO!!! Wajibika / Aminika/ uwena ubunifu wa maendeleo / changia/ na wacha siasa hapo.. Kuwa Mzalendo masilahi ya taifa weka mbele kabla ya sera zako na chama chako... Tunachotaka ni Maendeleo bila kujali wewe umetokea wapi katika Dini yako / Kabila yako / na chama chako.. Hili ni Bunge la Taifa na siyo la chama wala kabila.. Tanzania ni Moja na watu wake ni wamoja na wote tunaguswa na adha na miundobinu ambayo hivi sasa Baba JPJM na serikali wamedhamiria na wanawajibika kuona kwamba nchi inabadilika na watu wanarudisha Nidhamu na Uaminifu katika kila nyanja za uwajibikaji kuziboesha kufikia malengo... Tunachoomba ni ushirikiano mwema na Kila mmoja wetu anashirikia ipasavyo katika wadhifa aliokabidhiwa kwa uadilifi na asiwe mbadhirifu na atende haki kwa wote bila kijali vyote tulivyo vikataa kama Undugu/ Urafiki/ Kabila / Dini / Ujamaa...we need performer and achiver with high standard of discipline .. and educated.... ambao watatusaidia katika hii safari... Nia ni njema na muonekano ni mzuri na kasi yake pia inaridhisha na Tunamuombea Baba JPJM na huu mwezi mtukufu mungu akulinde na akupeni afya njema na Mh K.majaliwa muzidi kuktutumikia kwa Ujasiri na Uzalendo mlionao kwa hali ya juu ... Posho zikatwe toka walivyo anza huo Urasimu usio na mashiko ulio jaa chuki na kukosa Uelewa... Dr Tulia Hongera Mama.....Pamoja sana.
ReplyDeleteHii Safi sana!! Walikuwa wanatuibia kimacho macho bila hata haya... Waheshimiwa wanajua kuwa nchi inabana matumizi na kufanya jitihada zote kukusanya Kodi hawa Wahesabiwa wanajihesabu katika kupokea posho bila kuwajibika... Yaani wanafikiri nchi haina uchungu na wananchi wake mpaka wapate posho kiulaini... Wamekosea na kutojua wajibu wao na pia maadili ya utumishi bora...Ulipwe bila jasho... ama kweli... Mmepiga chini....mtanyooka hii n i Tanzania mpya na siyo ile mliozoeaaaaaaa... Hapa kazi Tu.. na utalipwa kwa kazi yako... Nguvu Jasho si Hewaaaaaaaa ...
ReplyDeleteHiyo hawa wabunge in Sawa Na MP's au kuna tofauti?? Au mimi sielewagi!!! Mimi naona kama ni matapeli au sivyo?
ReplyDeleteMama, Utawaona wote wanaanza Kurudi na kukaa.. Unacheza na Posho!!!
ReplyDeleteHaitutishi ngo
ReplyDeleteKibaby cha ccm
HAO NI WABUNGE HEWA INASTAHILI KABISA WASILIPWE POSHO WALIKUWA NATAFUTA NJIA YA KUFANYA KAZ ZAO NJE NA POSHO IMEKULA KWAO KAMA HAWAHUDHURII WASI[PEWE POSHO SAFI SANA DADA TULIA UKO VIZURI NAKUPENDA GHAFLA MWANAMKE MSIMKAMO BWANA MATAPELI WAKUBWA HAWA
ReplyDeleteSAFI SANA TULIA MUONGOZO UMETULIA SANA HUO
ReplyDeleteWATARUDI CHEZEA POSHO WEWE
ReplyDelete