AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio Kala Jeremiah alidai kuwa hata yeye alikuwa ni mtu ambaye alifurahishwa na kasi ya Rais Magufuli na alionyesha hisia zake wazi wazi toka mwanzo, lakini anakatishwa tamaa na kitendo cha kuzuiwa kwa bunge na kusema hilo pekee linaweza kuondoa sifa nzuri na kasi ambayo Rais alianza nayo kama ile ya kutumbua majipu.
"Kiukweli kabisa Rais alianza na kasi nzuri sana, mfano sisi kila siku kwenye nyimbo zetu tulikuwa tunaimba juu ya matatizo ya ufisadi ambayo yeye alianza nayo kwa kutumbua majipu, hivyo hata sisi tulikuwa tunatumbua majipu hayo hayo. Lakini nadhani kwenye suala la bunge live aingilie kati la sivyo kwenye Serikali hii tutakuwa nyimbo nyingi sana za kuimba kuliko muda wote" alisema Kala Jeremiah
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK