AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moses Iyobo na Aunty Ezekiel |
Itakumbukwa kua ni watu wachache sana waliokua wakiifahamu sura ya mtoto wa Anti kwani amekua akificha sura ya mwanae hasa kwenye mitandao ya jamii. Ila watu wengi baada ya kuona picha za mtoto huyo kwa mara ya kwanza walisema kafanana sana na baba yake kuliko mama. Unaweza tazama video ya Mose akicheza na mwanae na uone jinsi walivyofanana.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mkumbuke na bi.mkubwa(Mama)basi kaka.
ReplyDeleteJamani huyu mtoto malaika wa Mungu ni kazuriiiiiii dah mpaka basi tena. Sasa hawa viumbe watu wamekaleta hako ka malaika katikati ya drama zao. Sasa yule mjamaa aliyeswekwa jela pale Uarabuni sijui ndio itakuwaje. Kwa maana bado anadai huyo mwanamke ni wa kwake tena kihalali na kwa misingi ya dini. Duh mbona hii Dunia balaaa dah.
ReplyDeleteHONGERA BABA KUKU.
ReplyDelete