VIDEO: Young Dee Alivyoweka wazi Kuhusu Kutumia Dawa za kulevya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

June 22 2016 Rapper kutoka bongoflevani Young Dee amerudi rasmi kwenye uongozi wake wa zamani wa MDB Record ambao uko chini ya Maximilian Rioba,miongoni mwa vitu alivyoviongea rapper huyo ni pamoja na kukiri kutumia dawa za kulevya kwa mwaka mmoja na miezi minne.

Mbele ya Waandishi wa habari,Young Dee amesema >’Young Dee mnayemuona sasa hivi  sio yule wa zamani ambaye alikuwa akitrend kwenye mitandao ya kijamii kweli nilikuwa nikitumia madawa ya kulevya kwazaidi ya mwaka sasa, lakini ninachomshuuru mungu nikuwa siku fikia hali yampaka nipelekwe Rehab‘- Young Dee Video:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ulichokuwa unakataa sasa....mixeeewww

    ReplyDelete

Top Post Ad