AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amesema baada ya kubaini watumishi hewa 1,057 ambao wamesababisha hasara ya Sh2.1 bilioni, kazi iliyosalia ni kusaka waliohusika na mchezo huo mchafu na kuhakikisha fedha hizo zimerejeshwa.
Katika kufanikisha hilo, Mongella leo alitarajiwa kushiriki kikao cha mkakati ambacho kingehudhuriwa na wakuu wa wilaya zote lakini kutokana na mabadiliko ya jana hadi waapishwe wapya, makatibu tawala, wakurugenzi watendaji wa halmashauri na wakuu wa idara kwa nia ya kutoa maelekezo kwa kila mmoja.
“Kila mmoja lazima atekeleze na kutimiza wajibu katika eneo lake kuhakikisha fedha za Serikali zilizolipwa kinyume cha taratibu zinarejeshwa kugharamia miradi ya maendeleo ya wananchi,” alisema Mongella juzi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mhhhhhh..sawa kabisa .umekula unalipa.. Hapa Kazi Tu.
ReplyDelete