Waliokula Dili’ Watumishi Hewa Wasakwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amesema baada ya kubaini watumishi hewa 1,057 ambao wamesababisha hasara ya Sh2.1 bilioni, kazi iliyosalia ni kusaka waliohusika na mchezo huo mchafu na kuhakikisha fedha hizo zimerejeshwa.

Katika kufanikisha hilo, Mongella leo alitarajiwa kushiriki kikao cha mkakati ambacho kingehudhuriwa na wakuu wa wilaya zote lakini kutokana na mabadiliko ya jana hadi waapishwe wapya, makatibu tawala, wakurugenzi watendaji wa halmashauri na wakuu wa idara kwa nia ya kutoa maelekezo kwa kila mmoja.

“Kila mmoja lazima atekeleze na kutimiza wajibu katika eneo lake kuhakikisha fedha za Serikali zilizolipwa kinyume cha taratibu zinarejeshwa kugharamia miradi ya maendeleo ya wananchi,” alisema Mongella juzi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mhhhhhh..sawa kabisa .umekula unalipa.. Hapa Kazi Tu.

    ReplyDelete

Top Post Ad