AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Thank you sweetheart kwa kutumia bidhaa zangu #KissbyWema #TeamWema #MadamRange #TeamSonny #Wanawaketunaweza #huuMchezohauhitajiHasira #HapaKaziTu #MissTz2006 #BetAwards.
Mimi binafsi nampongeza kama ni kweli kavuka mipaka
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hongera wemaaa kama umefikia level za huko hiki ndo tunataka ww upige kazi sio drama...dram waachie wazee wanaozaa na wadogo zao ukisikia yalaaa limekupata...hahahha
ReplyDeleteHahahah yaani Kim aache kupaka vitu vya ukweli akapake lipstic feki kutoka china ya elf kumi.....Wema masikiniiii. Nani kakuvuruga?? Au laana za wake za watu na wapenzi za watu??
DeleteALHAMDULLIAH.
ReplyDeleteWema kweli sasa unavuta bangi!! Hivi unamjua unaye msema au?? Kim gani? Tuta endelea kukuombea ndoto yako itimie.
ReplyDeleteDuh aiseeee!!!..............Kim Kardashian na Wema Sepetu wapi na wapi dah hiii kali.
ReplyDeleteAaah anatafuta kiki tu huyo wema yeye na kardashian wapi na wapi
ReplyDeleteKim anajua kiswahili tulisoma nae mawenzi primary kule Moshi
ReplyDeletetunakuombea ndoto zako zitimie madam wema but uthibisho please.
ReplyDeleteDu Wema sasa bangi imekukubali kweli kweli, tatizo Kim Kardashian hakujui wewe ni nani, Kim Kardashian ni face ya makampuni maarufu duniani ya urembo vile vile yeye na dada zake wanayo kampuni yao ya vitu vya urembo, ndiyo anunue au atumie liptick yako ya elfu kumi? da wabango bwana kujisifia ndiyo wenyewe
ReplyDeleteWatu wengine bwana ndio maana watanzania hatuendelei. Hivi Kim kutumia lipstick ya wema kuna ajabu gani sasa. Kwani huko kwao hazipo au? Hebu tupanuke mawazo na tuache ushabiki wa chuki eti haiwezekani hapa kwetu watu wangapi wanajaribu urembo mbalimbali wakiona unafaa wanaendelea kutumia. Bisheni kitu kwa evidence sio kwa kukisia tuu. Ni kweli sasa Kim katumia kama inawauma mnafuatilia nini sasa. Poor mind set....
ReplyDelete