AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo Malinzi amesema Yanga bado ina nafasi ya kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo kutokana na namna kundi lao lilivyo hadi sasa hivyo wao kama shirikisho wanawatakia kila la kheri katika maandalizi yao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
TFF mmekuwa wadhaifu sana juu ya swala hili tangu mwanzo,na hapo kuna jambo nyuma yapazia unalijua,tiririka Mkuu.Yanga inawakilisha TANZANIA hivyo ikienda kinyume ni aibu kwa TTF pia.
ReplyDeletemdau ngoja tuone hii sinema itaishaje,TFF hawako makini.
DeleteHakuna kusubiri kudra za mwenyezi Mungu kutoka CAF,na kama itakuwepo basi kuna mkono wa TFF.Adhabu itakayowakabili yanga ni ya TFF sanasana kwa uharibifu wa uwanja,na sio CAF.Kwani kwa hizo vurugu nje ya uwanja kuna mchezaji,au mgeni yeyote wa TP Mazembe au kiongozi yeyote aliyetumwa na CAF kaumia au kujeruhiwa?Na haka ingekuwepo,ni nje ya uwanja Yanga wasingewajibika chochote hapo.
ReplyDeleteJe kuna upotevu wowote wa mali zao?Kwa jinsi mlivyoongea na wanahabari ni kama hamjui chochote kilichotokea na kwamba ni uamuzi wa Yanga tu,hapo msikwepe TFF mmeshiriki kwa namna nyingine kwa hayo yaliyotokea,kwamba kama mngekuwa makini hayo yote yasingetokea.Kuna barua yoyote mliyoandika kwa Yanga kuwakataza kufanya au kuwapa mwongozo na hayo mliyoongea?TFF ni SIMBA & YANGA hapo ndio inakuwa shida,ni kukomoana tu,kamwe hatutasonga mbele ki-soka.
Na mna hasira za kukosa mapato,mweeh!
ReplyDelete