AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa zinasema, Kinana ataendelea kutumikia wazifa huo hadi kufanyika uchaguzi mkuu ujao, Novemba mwaka kesho.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa gazeti hili, wengine watakaobaki kwenye nyazifa zao, ni Philip Mangula na manaibu makatibu wakuu wote- Bara na Zanzibar.
Habari zinasema, “uamuzi wa kumbakisha Kinana kwenye nafasi yake, haukuwa wa Magufuli. Ni shinikizo la viongozi wakuu wa CCM wakiongozwa na Benjamin Mkapa,” anaeleza mmoja wa viongozi wandamizi wa chama hicho.
Chanzo:Mwanahalisionline
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK