AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kwa kuwa Juma ni rafiki yangu na hakuna ugomvi wowote kati yetu kwani Juma ni rafiki yangu tangu zamani na Juma hajaua mtu kwetu” alisema Mh. Temba.
Akipiga stori na eNewz Temba amesema kwamba “Sisi kama sisi tulishawahi kulizungumza mi nikamwambia ni muhimu tuwe na watu wenye busara watuongoze katika kazi zetu kwa kuwa sisi ni wasanii wakubwa katika nchi hii isije ikatokea tukapishana kauli kidogo mambo yasiende kama tulivyokuwa tukitarajia”
Aliongeza kuwa “Hata hivyo sisi wenyewe tunaweza kujiongoza lakini akili ya muziki mi naifahamu. Nawasihi Watanzania wasubiri kazi nzuri kutoka kwetu”.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK