Linah Sanga Ahofia Kuweka Wazi Uhusiano Wake wa Mapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Linah Sanga
Linah amesema hayupo tayari kuweka mahusiano yake wazi kwa sasa.

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha E-News cha EATV kuwa wapo watu kwenye mahusiano wanataka kujaribu penzi la mtu kwa kumchezea na hawana mipango yoyote ya baadaye.

Linah ameongeza kuwa kwa sasa yeye hayupo tayari kumweka wazi mpenzi wake kama ilivyokuwa awali kwani jambo hilo kwanza linapelekea watu kuanza kufuatilia maisha yake ya mahusiano na si kazi zake za muziki.

Linah ni miongoni mwa wasanii wengi walioweka wazi penzi lao na watu kadhaa lakini mwisho wake hawakuweza kudumu kwa muda mrefu kwenye mahusiano hayo.

Hata hivyo kumekuwepo na tetesi kuwa ana uhusiano na rapper Bill Nass.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad