AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam waziri wa wizara hiyo Mhe. Ummy Mwalimu alisema kutokana na hali hiyo wizara imepiga marufuku matumizi ya vilainishi vinavyotumiwa na baadhi ya makundi yanayo jihusisha na vitendo hivyo.
Mhe. Ummy Mwalimu alisisitiza kuwa serikali imeamua kuzuia vilainishi hivyo kwani vimetajwa kuchochea vitendo hivyo ambavyo nikinyume na sheria na taratibu za nchi nakuongeza kuwa vitendo hivyo nimiongoni mwa sababu inayochangia ongezeko la VVU.
Aidha Mhe. Ummy alisema kuwa kwa sasa serikali inajikita kuhakikisha kuwa inajenga wodi za wazai, kununua vifaa tiba, madawa ya kutosha katika hosptali zake na sio ununuzi wa vilainishi hivyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
vilainisha or no vilainishi watafanya tu.
ReplyDeleteMwenye habari za yule shoga marufu apa dar AKA davto tumwagie ubuyu wake. anaitwa malkia wa ma gays tanzania.
ReplyDeleteHallo kumbe serikali inajuwa
ReplyDeleteKwanini dar na Dodoma
Sababu viongozi wote wa serikali wako dar na wakati wa bunge wapo Dodoma
Hallo
Hata mfanyeje
Hamtuwezi ngoooooo
Msijihami Kabisa serikali
hawamuogopi MUUMBA WAO ALIEWAUMBA .HAWATA OGOPA LOLOTE NA NI FITINA WANALETA TANZANIA.ILI WATETEWE NA NCHI ZISIZO NA DINI.INASIKITISHA KUIGA UTAMADUNI USIO WETU.
ReplyDelete