AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jux and Vanessa Mdee
Wawili hao wameacha tabia ya kushare picha zao katika mitandao ya kijamii na kuibua tetesi kuwa huwenda wameachana.
Akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Alhamisi hii, Jux ameizima tetesi hiyo kwa kusema bado yupo kwenye mahusiano na muimbaji huyo wa kike wa wimbo Niroge.
“Tumefika kipindi ambacho tuyaweka mahusiano yetu privacy na mziki wetu uendele,” alisema Jux “Bado mimi na Vanessa Mdee ni wapenzi,”
Pia Jux amewataka mashabiki wa muziki wake kusupport wimbo yake mpya ‘Wivu’ ambao ameuachia hivi karibuni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK