Ndesamburo wa Chadema azushiwa kifo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Boniface Makene amekanusha uvumi unaonezwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mwenyekiti wa chama hicho mkoani Kilimanjaro, Philimon Ndesamburo amefariki dunia usiku huu.

Makene amewataka Watanzania kuupuuza kwani huenda walioutengeneza wana malengo yao binafsi.

“Nimefuatilia na kupata uhakika kutoka mfumo wa chama hadi mkoani Kilimanjaro na kubaini kuwa habari hizo ni uongo mkubwa nawaomba watu na vyombo vya habari kuzipuuza,” amesema Makene.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. WASHINDWE NA WALEGEE KWA JINA LA YESU WOTE WALIOMZUSHIA !!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad