Utafiti: Pombe ni Chazo Cha Ugonjwa wa Saratani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watafiti wa afya kupitia jarida la Addiction wamedai kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya unywaji wa pombe na aina saba za saratani.
Aidha wataalamu hao wamegundua kuwa saratani ambazo imegunduliwa zina uhusiano mkubwa na unywaji pombe ni pamoja na saratani ya mdomo na koo, saratani ya kikoromeo, saratani ya ini, saratani ya utumbo mpana, saratani ya matumbo na saratani ya matiti.
Aidha mwezi Januari mwaka huu, afisa mkuu wa afya kutoka nchini Uingereza alitoa tahadhari kuwa unywaji wa pombe kwa kiwango chochote kile kina madhara ndani ya mwili.
Mpaka sasa watu zaidi ya laki tano wanakadiriwa kufa kutokan ana ugonjwa wa saratani kwa mwaka 2012 pekee. Hata hivyo mpaka sasa bado haijabainika kibaiolojia uhusiano wa pombe na saratani inatokeaje


Chanzo: Bongo5
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad