Ryan Giggs Kuondoka Man United....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ryan Giggs amefikisha kikomo cha muda wake wa kuhudumu katika klabu ya Manchester United baada ya kukubali kuondoka kupitia makubaliano.

United inatarajiwa kutoa taarifa rasmi katika siku chache zijazo kuhusu hatua hiyo.

Giggs mwenye umri wa miaka 42,alikuwa amesalia na mwaka mmoja katika kandarasi yake kama naibu meneja, lakini mkufunzi Jose Mourinho anataka nafasi yake ichukuliwe na rafikiye Rui Faria.

Huku akishindwa kuafikia makubaliano ya kuchukua wadhfa mwengine katika klabu hiyo ya ligi kuu ya Uingereza,Giggs ambaye aliichezea Man United takriban mara 963 amekubali kuondoka....
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad