AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
United inatarajiwa kutoa taarifa rasmi katika siku chache zijazo kuhusu hatua hiyo.
Giggs mwenye umri wa miaka 42,alikuwa amesalia na mwaka mmoja katika kandarasi yake kama naibu meneja, lakini mkufunzi Jose Mourinho anataka nafasi yake ichukuliwe na rafikiye Rui Faria.
Huku akishindwa kuafikia makubaliano ya kuchukua wadhfa mwengine katika klabu hiyo ya ligi kuu ya Uingereza,Giggs ambaye aliichezea Man United takriban mara 963 amekubali kuondoka....
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK