AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gadner
Akiongea na Bongo5 Jumamosi hii, Gadner amesema anaheshimu faragha ya muimbaji huyo wa wimbo ‘Ndi Ndi Ndi’ na kamwe hawezi kufanya kitendo kama hicho.
“Kusema kweli sitaki kulizungumzia suala la Lady Jaydee, naheshimu faragha yake,” alisema Gadner. “Ile issue ilikuzwa na mitandao ya kijamii, na mitandao ya kijamii inajua kutengeneza mambo hata yasiyokuwepo,”
Mtangazaji huyo amesema hana tatizo na mwanadada huyo kwa kuwa kila mtu alisha ‘move on’ na anaendelea na mambo yake.
Katika video ambayo ilisambaa mitandaoni, Gadner alisikika akisema “Na sina neno na yule mtoto wa kike. Nimeshamkojoza kwa miaka kama 15 hivi,” kauli ambayo ilichukuliwa vibaya na watu wengi.
Chanzo:Bongo5
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
boya wewe gadna,unafikiri unaongea na nani?ata mtoto mdogo anaelewa ulikuwa unamaanisha nini kama siyo kumdhalilisha.
ReplyDeleteNimesoma na mwanae,ninamuheshimu sana lakini kwa neno lile hata mimi nilikereka sana jamani.Mungu amsaidie maana kwa jinsi anavyoongea ni kama kagundua kuwa alifanya kosa.Tumsamehe.
DeleteUle usemi wa mtu mzima ovyo unawahusu wote. JD naye pia alimprovoke na ndi ndi yake. Hapo ngoma draw.
ReplyDeletehata jidee hakumaanisha kumuimba Gadna kuwa yeye ni chizi asopona.
ReplyDeletehahaha utaisoma mwenzio amepata mzungu mwenye kumjali.ndi ndi ndiiiiii.
ReplyDeleteunajitetea tu hakumtendea hakikabisa!!!!
ReplyDelete