Siwema: Nay Hajanikatisha Tamaa ya Kuwa na Staa Kimapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mrembo aliyezaa na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amefunguka kuwa, kuingia doa kwa penzi lake na jamaa huyo hakujamkatisha tamaa kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ambaye ni staa.
Siwema na Nay wa Mitego

Siwema ameliambia Wikienda kuwa hawezi kuapa kwamba hatakaa atumbukie tena kwenye penzi la msanii kwa kuwa hakuna anayejua huko mbeleni ataangukia kwa nani.

“Siwezi kusema kuwa Nay amenikatisha tamaa au sitaingia tena kwenye penzi la staa kwa sababu naweza kuapa halafu ikawa sivyo,” alisema Siwema.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hivi kuna staa bongo? mastaa bongo hawana tofauti na watu wa kawaida staa ni mtu anayejulikana duniani kote

    ReplyDelete

Top Post Ad