AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo anayefanya vizuri na wimbo ‘Bugger Movie Selfie’ ameonekana akifanya mazoezi ya bendi ya Diamond katika ofisi za WCB.
Kwa mujibu wa kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Belle pamoja na Diamond wameonekana wakiimba wimbo ‘Mdogo Mdogo’ kwa pamoja huku wakicheza.
Hatua hiyo imefufua matumaini mapya kwa mashabiki wa kumuziki kuona huweza WCB ikamsaini msanii hiyo kama ilivyofanya kwa Rich Mavoko.
Kwa sasa label ya WCB ina wasanii wanne, Harmonize, Rich Mavoko, Raymond aka Rayvany pamoja Queen Darlin.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tatizo la hawa wasanii wetu kwa mfano rich mavoko Tangu kusaini WCB ukisikiliza nyimbo zake zimepoteza ile uniqueness yake. Sasa Ana sound na mziki wake umefanana kama harmonize. Kwa kifupi nyimbo zinafanana fanana Japo maneno tafauti.
ReplyDeleteuniqueness kitu gani watu wanaangalia mziki unaopendwa na mashabiki kisha wapige hela......kalaga baho na uniqueness yako
ReplyDelete