Faiza Awataka Wasichana Kuwakimbia Wanaume wa Namna hii…

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu Faiza Ally amewataka wasichana wenzake kuwakimbia wanaume ambao wanawataka wasichana ili kufanya nao mapenzi kinyume na maumbile.
Faiza Ally

Muigizaji huyo ambaye yupo mbioni kuachia filamu yake mpya ‘Baby Mama Drama’, amewataka wasichana wenzake kuwaepuka wanaume wa nanma hiyo.

“Mtu anayekutaka kinyume na maumbile ni mtu katili sana,” aliandika Faiza instagram “Wanawake wenzangu msikubali kufanyiwa hivyo, mwananume anaetaka kukufanyia hivyo ni adui na hana mapenzi zaidi ya kuiridhisha nafsi yake tu,”

“Na ukikubaliana nae anaona amepata boya, mifano nimeona mingi sana na wengi wanalia na wamebaki namaumivu na chuki, hata ukinunuliwa gari halita kuwa milele, hata ukiwa na nyumba hutakula matofali, ukipewa hela zitaisha, ukipewa kazi mkataba utaisha pia, ukiolewa baada ya muda utachoka kugeuzwa kila siku na ndoa itakua haina amani moyoni, maana kigezo sio cha kumpendeza Mungu lakini utu wako utabaki milele,” alifafanua.

“Pia siku zote usifike mwisho ukakosa plan b siku zote kuna plan nyingine maana wanawake tunatabia ya kujitolea tupate jambo fulani lakini si kweli kwamba bila kutoa nyuma utafeli kila sehemu, ukikutana na jambo kama hili basi acha tafuta kungine ! hakuna kisicho wezekana haijalishi una haso muda gani, usikubali kuna watu wame haso miaka 30 na akapata wa 31. Mungu anatoa kwa wakati sahihi,” aliongeza.
Aliongeza,
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Faiza usisingizie umeyasikia kwa mtu wewe ulishajaribu sana hako kamchezo kwa sababu ulivyoelezea sio yakusikia ila umeyapitia

    ReplyDelete
  2. NINGEJUA......../??????????
    HUJA BAADA YA TENDO.
    POLE SANA FAIZA.

    ReplyDelete
  3. Ndo
    Maana uliachwa
    Kwani tununu
    Hatuli migongo siye

    ReplyDelete

Top Post Ad