Flora Mvungi adai wakati anaanza mahusiano na H.Baba alikuwa na wasiwasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu na Mama wa watoto wawili, Flora Mvungi amesema yeye ni mmoja kati ya watu ambao walikuwa hawaamini kama kuna mahusiano ya mapenzi ya kweli kati ya msanii na msanii.

Muigizaji huyo ambaye ni mke wa msanii wa muziki na filamu, H. Baba ameiambia Bongo5 kuwa alichukua muda mrefu kuamini kile kilichotokea kwenye maisha yake.

“Kama mimi nilikuwa siamini mahusiano ya msanii na msanii kama wanaweza wakakaa sehemu moja na kutengeneza familia,” alisema Flora Mvungi. “Kwa hiyo kwa mara ya kwanza nilikuwa na wasiwasi sana lakini mpaka kufikia malengo ya kufunga ndoa, nilikuwa nimeshaondoa wasiwasi wangu, nikaamua kuingia kwenye maisha ya ndoa ya kusema kweli ni mazuri sana,”

Muigizaji huyo amesema kwa sasa anayafurahia maisha yake kwa kuwa yupo sehemu sahihi katika maisha yake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HONGERENI SANA. MUNGU AJALIE NDOA IDUMU!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad