AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo amekiambia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachoruka kupitia EATV kuwa ametumia kiasi cha $25,000 kushoot video yake hiyo ambazo kwa hela za kibongo ni zaidi ya shilingi milioni 50. Kiasi hicho cha fedha kinaweza kununua gari aina ya Passo mpya kutoka show room, saba na chenji inabaki!
Mpaka sasa wimbo huo una zaidi ya miezi mitatu tangu alipouachia mwezi Mei mwaka huu kwa kushtukiza na umefanikiwa kutazamwa kwa zaidi ya mara laki nne kwenye mtandao wa Youtube.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK