Jokate: Wanawake Tusikatishwe Tamaa na vitu Vidogo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kidoti kwa sasa anaendelea kupanua biashara zake kwenye nchi za Afrika Mashariki ambako kwa kuanzia wikiendi hii alikuwa jijini Kigali akiangalia fursa za kufanya biashara nchini humo.

“Wanawake tumeumbiwa kuwa na uvumilivu sana na upendo sana,” ameandika Jokate kwenye mtandao wake wa Instagram. Mungu atupe wepesi kwenye shughuli zetu, tusikatishwe tamaa na vitu vidogo. Tuseme Amen. Amen.”

Jokate ni miongoni mwa mastaa wachache wa hapa Bongo wanaoingiza fedha kutokana na biashara zao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad