Mapacha Waliofanyiwa Upasuaji Kupasuliwa Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Madaktari bingwa nchini wakisaidiana na wataalamu kutoka Misri, wanajipanga kuwafanyia upasuaji watoto pacha waliotenganishwa, Eliud na Elikana Mwakyusa (3) wakazi wa Kasumulu, Kyela mkoani Mbeya.

Katika upasuaji waliofanyiwa awali, waliwekewa njia za dharura na muda mfupi za haja ndogo na kubwa, hivyo wanafanyiwa upasuaji mwingine kuwekewa njia za kudumu.

Ofisa Habari wa MNH, John Stephen amesema upasuaji wa pacha hao umefuatia baada ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kuanza upasuaji kwa watoto wanane, wenye matatizo ya njia ya mkojo na mfumo wa hewa na chakula.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad