AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Madaktari bingwa nchini wakisaidiana na wataalamu kutoka Misri, wanajipanga kuwafanyia upasuaji watoto pacha waliotenganishwa, Eliud na Elikana Mwakyusa (3) wakazi wa Kasumulu, Kyela mkoani Mbeya.
Katika upasuaji waliofanyiwa awali, waliwekewa njia za dharura na muda mfupi za haja ndogo na kubwa, hivyo wanafanyiwa upasuaji mwingine kuwekewa njia za kudumu.
Ofisa Habari wa MNH, John Stephen amesema upasuaji wa pacha hao umefuatia baada ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kuanza upasuaji kwa watoto wanane, wenye matatizo ya njia ya mkojo na mfumo wa hewa na chakula.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK