AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchekeshaji huyo ambaye kwa sasa yupo honey moon visiwani Zanzibar, amesema ameamua kutoa taarifa hiyo ili kuwaondoa hofu baadhi ya mashabiki pamoja na ndugu.
“Jamani asanteni kwa maombi na meseji zenu kuulizia juu ya inshu ya polisi, tunamshukuru mungu tumewaomba msamaha na wametusamehe hivyo imekwisha,” aliandika Masanja facebook.
Aliongeza, “Tumesema tulinogewa na harusi tukasahau kwenda kuomba kibali. Lakini akina Joti, Seki, Maclegan,na Wakuvanga wamepata kautamu kidogo kamahojiano. Na mimi ningekuwa kwenye jiji la Makonda ingenihusu,”
Wasanii hao walikamatwa na jeshi la polisi na kuhojiwa baada ya kuvaa sare zinazofanana ya za jeshi la polisi katika harusi ya msanii mwenzao Masanja Mkanadamizaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nafikiri polisi wa Tanzania hawana kazi za kufanya
ReplyDeleteKazi Yao ni
Kutafuta uchochezi usio kuwa hata na mashiko yo yote
Wasanii ni kioo cha jamiii
Dunia nzima hutumia mavazi yanayo fanana na polisi
Madaktari
Wanajeshi
Nk
Ni kama burudani ktk jamii
Fyuuuuuuuu
Polisi wa bongo
Huyu msemaji wa polisi kwanza akanyowe ndevu zake anatisha