AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inasema Mugabe amechukua hatua hiyo baada ya kuumizwa na wachezaji hao kushindwa kupata hata medali moja kwenye mashindano hayo huku pesa iliyowekezwa kwenye timu ili kuiwakilisha nchi ingeweza kutumiwa kununulia dawa na kujenga shule.
“Jambo hili ni sawa na mwanaume asiyelijali kuoa wanawake watano, maana yake nini? Nitahakikisha tunagawana hasara, wote watailipa serikali bila kujali huku wakijua kuwa fedha zilizowapeleka huko zinatoka kwenye mifuko ya wananchi,” Mugabe anadaiwa kusema.
“Tumepoteza pesa za taifa kwa ajili ya hao panya tunaowaita wanamichezo. Kama hauko tayari kujitoa na kushinda japo medali ya shaba kama wenzetu wa Botswana walivyofanya, sasa kwanini ulienda kupoteza pesa zetu,” ameongeza.
Cha kuchekesha zaidi, Mugabe alidaiwa kusema, “kama tulihitaji watu kwenda Brazil kuimba wimbo wetu wa taifa na kupeperusha bendera, tungewaagiza warembo na vijana watanashati kutoka Chuo Kikuu cha Zimbabwe wakatuwakilishe.”
Zimbabwe ni miongoni mwa mataifa ambayo wanamichezo wake hawakufanikiwa kushinda medali ikiwa inawakilishwa na wanamichezo 31. Mchezaji ambaye alionekana kufanya vizuri ni yule aliyekamata nafasi ya nane.
Hata hivyo kuna uwezekano habari hii inaweza kuwa ni ya kutengenezwa (satire) kama nukuu mbalimbali za kuchekesha ambazo amekuwa akidaiwa kuzisema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hahaha...MUGABE bhana, eti hao "Panya" hahaha
ReplyDelete