Rais Yoweri Museveni Kutawala Uganda Milele, Muswada wa Kubadili Katiba Kuwasilishwa leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo Serikali ya Uganda itawasilisha muswada Bungeni unaotaka kubadilisha Katiba ili Rais Yoweri Museveni aweze kutawala milele.

Nini maoni yako juu ya hiki kinachotaka kufanyika?
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Africa Africa hiyo
    Madaraka ya raha yake
    Kwani taifa zima linakuwa chini yako
    Tupeni pole wazungu
    Ilikuwa bado kabisa demokrasia Africa

    ReplyDelete
  2. KAZI KWELI KWELI!!

    ReplyDelete
  3. Tanzania yapo njiani
    Hapa kazi tuuuuuu

    ReplyDelete
  4. Hana Hata aibu.atawale maisha k wa kikubwa kip alichokifanya?. Kweli sisi wa Africa sijui tumemkosea nini mungu. Mijitu tamaa tu na ubinafsi. Na tuone hiyo maisha ataishi miaka mingapi?

    ReplyDelete

Top Post Ad