Mwigulu Nchemba 'Watu Wanaofurahia Tukio la Kuuawa Polisi Watafikishwa Kwenye Vyombo vya Sheria'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema watu wote wanaofurahia tukio la kuuawa Polisi wanne jana watafikishwa kwenye vyombo vya sheria kujieleza

Kufuatia kuuawa Askari Polisi wanne jana baadhi ya watu hasa mitandaoni walionyesha kufurahia jambo hilo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Awamu hii ya tano Ina vishindo
    Mwigulu umekuwa polisi mbona mavazi yako hayana cheo ?
    Umsiwige Nyerere alipovaa nguo za JKT
    It's was that time we have only one party
    Na katiba bubu
    Haingiliiiiiii kichwani eti waziri wa mambo ya ndani kuvaa nguo za kijeshi


    Je waziri wa Elimu avae sare ya wanafunzi wa sekondary
    Sare za kijeshi zina heshima yake
    Wewe u waziri si mwana jeshi

    ReplyDelete
  2. Watashitakiwa kwa kifungu gani cha sharia?? Nielimishe.

    ReplyDelete
  3. Hili suala lingefatiliwa kwa makini ili kuwabaini wauaji halisi na lengo lao lakini tukisema mambo ya kisiasa itakuwa bado tupo kwenye mtihani mkubwa. Maana mara nyingi polisi wamekuwa wakiawa toka enzi za JK hadi sasa, inawezekana hawa watu wana malengo mengine ila wanatumia mchafuko wa kisiasa kuwachanganya polisi!!

    ReplyDelete

Top Post Ad