Navy Kenzo: Ngoma yetu Mpya ina Hadhi ya Kuingia Kwenye Chati za Billboard

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kundi la wasanii wa Bongo Flava la Navy Kenzo linaloundwa na Nahreel na Aika, limesema single yao mpya ni shida!

Wamesema wimbo huo una vigezo vyote vya kuweza hata kuingia kwenye chati za Billboard.

“Tumekuwa tukifanya muziki mzuri na wa tofauti ili tuifikishe Bongo Flava mbali. Sasa kuna nyimbo inakuja watu wakae tayari kwa sababu tumewekeza sana kwenye production na kila kitu,” waliiambia XXL ya Clouds FM.

“Ni ngoma kali Sana kuanzia style na kila kitu. Pia album yetu ‘Above In a Minute’ inakuja na wnyimbo hiyo itakuwepo pia, tunataka tufanye vitu vikubwa ikiwemo kuzifikia chati za Billboard,” waliongeza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ee bana mko pouwa bin freshiiii napenda kupata blog na mm ama vp

    ReplyDelete

Top Post Ad