AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wamesema wimbo huo una vigezo vyote vya kuweza hata kuingia kwenye chati za Billboard.
“Tumekuwa tukifanya muziki mzuri na wa tofauti ili tuifikishe Bongo Flava mbali. Sasa kuna nyimbo inakuja watu wakae tayari kwa sababu tumewekeza sana kwenye production na kila kitu,” waliiambia XXL ya Clouds FM.
“Ni ngoma kali Sana kuanzia style na kila kitu. Pia album yetu ‘Above In a Minute’ inakuja na wnyimbo hiyo itakuwepo pia, tunataka tufanye vitu vikubwa ikiwemo kuzifikia chati za Billboard,” waliongeza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ee bana mko pouwa bin freshiiii napenda kupata blog na mm ama vp
ReplyDelete