Kuelekea Siku ya Harusi yake Shamsa Ford Aamua Kuwaomba Msamaha Wote Aliowakosea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shamsa Ford
Zikiwa zimepita siku chache tu toka habari za Shamsa Ford kutarajia kuolewa na mfanyabiashara Chid Mapenzi kuzagaa mitandaoni , Leo asubuhi kaamua kuwaomba msamaha wale wote aliyowakosea ili aweze kuanza ukurasa mpya bila kinyongo..

Soma hapa alichosema:

SIKU zote tunamuomba Mwenyezi Mungu atusamehe dhambi zetu lakini sisi binadamu tunashindwa kusameana hali ya kwamba hakuna mwanadamu aliyekamilika kama MALAIKA. .Naomba nitumie nafasi hii kumuomba msamaha kila niliyemkosea katika maisha yangu iwe makusudi au kwa bahati mbaya .Naomba utafute nafasi ndani ya moyo wako kunisamehe kwasababu nahitaji kuanza ukrasa mpya wa maisha yangu bila kinyongo na mtu yeyote. .NA ww pia uliyenikosea kwa chochote nataka ujue nimekusamehe kutoka ndani ya moyo wangu. .Mungu atufanyie wepesi wa kila jambo na inshaaallah atupe nafsi za kusameana pale tunapokoseana kwasababu duniani tunapita. ...NAWAPENDA WOTE
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad