AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bado Bill Nas amekuwa akisema kuwa aliondoka Rada bila tatizo.
Akiongea na Perfecto TV, Shilole amesema Bill ni kijana mtulivu.
“Wanamuonea sana Bill Nas, kwasababu ni kijana mtulivu ambaye anaelewa nini anafanya. Hapendi competition ila kuna watu wanataka kufanya competition naye na kutaka kutengeneza jambo ambalo halina maana,” amesema Shilole.
“Ni kweli hakuna mtu aliyemjua Bill Nas kabla hajawa kwa TID lakini mimi naamini anamheshimu sana TID.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK