AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alisema hayo wakati akifafanua suala la Watanzania wanaoishi nje ya nchi, hasa vijana na kusema wamekuwa wakijishughulisha na uuzaji dawa za kulevya badala ya kuwa raia wema.
Aliwataka kuacha kujishughulisha na mambo yanayoweza kuwaweka kwenye wakati mbaya na kutii sheria za nchi waliko.
Alisema Watanzania wengi waliopo Afrika Kusini wanafanya kazi ya kusafirisha dawa za kulevya na wengine wanasubiri ‘kuzamia meli’ mjini Durban.
Alisema suala hilo ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakijadiliwa na Serikali ya Afrika Kusini ambapo Tanzania imejulishwa tatizo hilo na Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Afrika Kusini pamoja na Rais Jacob Zuma.
“Ni kweli lipo tatizo kubwa la Watanzania waliopo Afrika ya Kusini kujishughulisha na biashara ya dawa za kulevya. Serikali ya Afrika Kusini imetujulisha jambo hilo nasi tunalishughulikia kuiepusha nchi kuwa na uhusiano mbaya wa kidiplomasia na nchi nyingine.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
JK alikuwa na majina ya vigogo wauza UNGA kakaa nayo miaka 10
ReplyDeleteKaondoka nayo na hata hajayakabidhi kwa awamu ya Tano hadharani Kama alivyofanya kwenye Mali za CCM
Watanzania haituingiliii akilini
Serikali inaposema kuna watanzania wamefungwa kwa ajili ya madawa ya kulevya nchi za nje
Wakati hadi leo majina hayajatajwa
Yetu macho mtaficha moto lakini moshi tutauona