Barnaba Adai Awali Ruby Aliukataa Wimbo ‘Na Yule’ Aliouandika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Barnaba amedai kuwa awali Ruby aliukataa wimbo ‘Na Yule’ alioundika.

Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, mwandishi huyo mahiri wa nyimbo alisema aliitwa amuandikie wimbo msanii huyo.

“Nikaandika nyimbo tatu lakini for the first time nikamuambia imba huu, ule wimbo nilimwandikia Ruby na kuucompose then Tudy akaja kufanya mastering kumalizia finishing,” alisema Barnaba.

“Lakini nilivyompa akakataa alisema ‘huu wimbo unasound kigospel sana.”

“Lakini baadaye kipindi nimeenda out sasa akaanza kunipigia simu sasa kuniambia ‘I can’t believe it’ ambavyo anapokea mrejesho kwa watu.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad