Chris Brown Agoma Kusimama Wakati wa Kuimba Wimbo wa Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chris Brown ameshangaza wengi tena baada ya kuamua kuka chini wakati unaimbwa wimbo wa taifa la Marekani kwenye mchezo wa kikapu wa watu maarufu.

Breezy alifanya hivi pamoja na mastaa wengine kwenye mchezo huo wa kikapu wa radio ya Power 106 ya mjini Los Angeles Jumapili ya Sept. 11 ikiwa ni miaka 15 toka tukio la kigaidi la 9/11 kwenye majengo ya World Trade Center.

Kabla wimbo haujaimbwa msanii Tank alielezea issue ya kukaa na kusimama wakati wimbo huu unaimbwa “I understand everybody’s exercising their right to stand or sit and exercising their right to freedom and justice,But in the wake of 9/11, please understand the fact that real men, women, and children lost their lives for this very thing that we’re able to stand for today.” Video:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad