Hacker Achukua Account ya Instagram ya Mwanamuziki Chege..Ampiga Mkwala wa Nguvu na Kumpa Masharti Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Account ya Chege Chigunda imehakiwa na Hacker leo na Hacker huyo ametoa msimamo wake kama alivyoandika kupitia Instagram Account hiyo ya Chege :

#Regrann from #chegechigunda - Baada ya maisha kuwa magumu na Serikali kutogawa ajira kazi tu kunyakunyaku wafanyakazi serikalini bila kujua wanaenda kuwa watu wa aina gani mitaani, basi vijana wachawi weusi kama mm acha ile ya mzungu mchawi, tumeamua kujiajiri nakutumia elimu zetu kuhack account ili tu kujiingizia kipato. Maana nimesomea IT Serikali aitaki kunipa ajira ikidai bado inachomoa wafanyakazi fake! Sasa mnataka nibaki mtaani niibe live live? Hapana mm siibi live maana nikichosomea ni behind the scenes. Hahaha. Afu Serikali imeajiri mijitu ambayo haijui ata nn maana ya LOG OUT ipo tu pale TCRA. Mm naamini zile ajira tukipewa sisi vijana wachawi na wamiliki wa mitandao, hakuna mtu atalia kuwa amehackiwa account labda kama password atakuwa anashare na marafiki. Aya cut the Bullshit. Kaka Chege mm nishabiki yako mkubwa sana ila nimechukua I account sababu wewe unavimba sana siku izi mamae. Kitu kidogo tu unavimba wakati unajua kila mtu na cheo chake kwenye I dunia. Sasa ujifunze kwanzia leo sio kila mtu wakumchukulia poa kisa wewe ni Star. Eshimu kila mtu sio umuheshimu mkubwa fela tu. Sasa skia, mm nakupa account yako baada ya masaa ma3 yakufanya matangazo apa na wananchi wangu wasaka tonge kama mm na ww. Yakitimia masaa ma3 nitamtumia mkubwa fella PASSWORD ya I account kwenye DM yake. Afu wewe msanii mkubwa bwana unakosaje hata kuwa na IT master katika team yako? Sasa naanza kupata mwanga kwann DIAMOND PLATNUMZ CHIBU SIMBAAAAAAAA anawakimbiza sana. Jamaa team yake imekamilika sana afu pia avimbi. Angelikuwa anavimba ningeshachukua account yake mapema. Maana mm huwa sihack nachukua kama yangu. Kwaiyo tuliza Pumbu zako baba baada ya masaa ma 3 nakupa account yako iyo yote ni kwasababau napenda muziki wako. Ila acha kunivimbia. Pia uwe unaweka account security bana. OK ndugu zanguni followers wa chege LETENI MATANGAZO DM KWANZIA SASA nina masaa ma3 yakujidai umu Kiroho safi. Na baba chege mzee wa acha waoane. Skia, nikiona mtu anataka kama kuirudisha I account ndani ya masaa aya ma3, AKIYANANI NITAIFUTA I ACCOUNT, NA KUMBUKA NIKISHADELETE HAKUNA FALA ANAWEZA IRUDISHA I ACCOUNT TENA. so be a mother faking Good boy.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad