AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha:Polis Kutoka Kenya Linda Okele Akiwa na vazi la Kubana Mwili lililozua Gumzo Nchini Huko |
Akizungumza na askari hao wakati akifungua kongamano la siku 3 la mtandao wa polisi wanawake mjini Dodoma, Naibu IGP , Inspekta Jenerali huyo amepiga narufuku uvaaji wa sketi fupi kwa askari wa Jeshi hilo.
“Kwa wale wanaume, yeyote ambaye anavaa ‘kata k’ kamanda na kesi yakujibu, hivyo hivyo ma-WP ambao wanavaa kinyume na taratibu ambazo zipo jeshi la polisi kamanda ana kesi yakujibu, lakini itakwenda sambamba na yule in charge,” alisema Kaniki.
Pamoja na hilo amewaonya viongozi wa jeshi ambao wamekuwa wakivunja utaratibu , ikiwamo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na askari wa chini , kwa kuwa hiyo ni sawa na kumkabidhi mtu kondoo kuwachunga na badala yake akawala .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani hilo vazi linasababisha kazi sisiende au!! mtu kapewa shepu yake tanashati wewe hasira za nini!!wenye wivu wajinyonge.. (in saida kaloli voice).
ReplyDelete