AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pia Amini aliwahi kumwandikia msanii huyo nyimbo kadhaa zilizofanya vizuri. Lakini sasa hitmaker huyo wa ‘Bado Robo Saa’ amesema kuwa Linah wa sasa si yule wa zamani katika uimbaji.
“Linah wa sasa anakosa uyeye aliokuwa nao mwanzo wakati mimi namuandikia nyimbo,” Amini alimwambia mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove.
“So nyimbo anazozipata sasa hivi sio nyimbo za kuimba yeye. Nafikiri pia mwandishi anayemuandikia bado hajamjulia jinsi ya kumwandikia nyimbo za aina gani au idea ya aina gani, vile vile studio anazorekodia au producer anayerekodi naye anakuwa hajamjulia,” aliongeza.
Amini anasema bado ana uwezo wa kumwandikia Linah kwakuwa ni kwake ni sehemu ya biashara
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK