Amini Amrushia Dongo Linah Sanga...Adai Nyimbo zake za Sasa Sio Nzuri Zinakosa Uyeye....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Amini aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Linah uliodumu kwa miaka mingi kabla ya kuachana na kila mmoja akawa na maisha yake.

Pia Amini aliwahi kumwandikia msanii huyo nyimbo kadhaa zilizofanya vizuri. Lakini sasa hitmaker huyo wa ‘Bado Robo Saa’ amesema kuwa Linah wa sasa si yule wa zamani katika uimbaji.

“Linah wa sasa anakosa uyeye aliokuwa nao mwanzo wakati mimi namuandikia nyimbo,” Amini alimwambia mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove.

“So nyimbo anazozipata sasa hivi sio nyimbo za kuimba yeye. Nafikiri pia mwandishi anayemuandikia bado hajamjulia jinsi ya kumwandikia nyimbo za aina gani au idea ya aina gani, vile vile studio anazorekodia au producer anayerekodi naye anakuwa hajamjulia,” aliongeza.

Amini anasema bado ana uwezo wa kumwandikia Linah kwakuwa ni kwake ni sehemu ya biashara
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad