AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Shein aliyasema hayo juzi katika sherehe za kilele cha mbio za Mwenge zilizofanyika kitaifa katika mkoa wa Simiyu na kuhudhuriwa na viongozi wa serikali na taasisi binafsi pamoja na mamia ya wananchi pamoja na watoto wa halaiki waliopamba shughuli hiyo.
“Serikali kwa sasa tumejipanga vizuri hatutakubali misaada yenye masharti magumu na wahisani ambao wanataka kufanya hivyo wakae na misaada yao tutajitegemea wenyewe” Alisema Dkt. Shein.
Aidha Rais Dkt. Shein aliwataka watanzania kuendelea kuiunga mkono serikali kwa kuwa imedhamiria kufanya kazi kwa juhudi zote na kusema kwamba ambao wamezoea kuchukua rushwa ni bora waache kwa kuwa serikali haitawavumilia.
Mbio za Mwenge mwaka huu zilifikia tamati baada ya kukimbizwa katika mikoa 31, halmashauri 179 na siku 179 ambapo zimezindua miradi 1,387 yenye thamani ya shilingi bilioni 498.8.
Mbio za Mwenge wa Uhuru mwakani zitazinduliwa mkoani Katavi na kuzimwa mkoani Mjini Magharibi visiwani Zanzibar.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Zanzibar kuna rais uchaguzi si bado jamani
ReplyDelete