Flora Mvungi Kaitaja Kashfa Ambayo Hatoisahau Maishani Mwake…

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni headlines za msanii Flora Mvungi ambae leo October 19,  2016 amefunguka na kutaja kashfa ambayo hatoweza kuisahau maisha mwake.


Mimi sio mgeni macho mwa watu na wengi wananifahamu tabia yangu ikoje na wengi wanafahamu page yangu ya instagram ikoje na sijawahi kumtukana mtu bila sababu ya msingi kitu kikubwa’
‘Kikubwa ni kwamba ilivyotokea taarifa kwamba mimi ndio mmiliki wa ukurasa wa instagram uitwao Marashi ya pemba iliniumiza sana na kuniharibia hata kwa watu wengi ninaowaheshimu kwahiyo ningekupenda kuwaambia mashabiki wangu kwamba zile taarifa za mimi kumiliki huo ukurasa sio za kweli’


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kina dada mpaka mvae nguo za mapajani ....ndio mueleze stpori zenu

    ReplyDelete

Top Post Ad