Povu Lamtoka Nuh Mziwanda Akimtetea Ali Kiba...Adai Ana Roho Nzuri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nuh Mziwanda Ametetea uamuzi wake wakumpigia promo Ali Kiba Kwenye page yake ya Instagram ili watu wamvotie ashinde tuzo...

Ameandika Haya hapa kuwalengo wote wanaomponda:

Iam_mziwanda
"Eeeeh bana nasemaje nasaport anaenisaport msinipangie mana inaeezekana hamjui wema wa jamaa kwangu 'mchizi yupo na roho ya kusema SAWA haijalishi upo kwenye wadhifa gani katika muziki na ndio mana collabo zake nyingi anapiga na wasanii wachanga 'I salute u Ali n plz let us keep on voting to him Heshima irudi nyumbani"

Neno Moja Kwa Nuh Mziwanda
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad