AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Iliripotiwa kuwa staa huyo kuwa na tuhuma za kumvunjia shabiki Brenda Chepkoech simu alipowasili Airport Mombasa ambae alikuwa katika harakati za kutaka kupiga nae selfie, leo Oct 14 2016 kituo kikubwa cha habari cha Kenya, eDaily kimeripoti majibu aliyatoa Chris brown kuhusu tuhuma hizo na hiki ndicho alichokiongea staa huyo…
”Brenda Chepkoech aliyenipa tuhuma za kumvunjia simu yake oct 8 2016 alikuwa anataka free tickets ili aweze kufika kwenye show hiyo’ – Chris Brown
Imeripotiwa kuwa dada huyo alikua anawafata Chris Brown na kundi zima kuomba ticket na kutaka kupiga selfie na staa huyo lakini ombi lake halikusikilizwa, chris aliwambia marafiki zake…
’ Hata picha inaonyesha sikumsogelea dada huyo wala simu yake, Hapana sio uongo mwingine kuhusu mimi tafadhali’– Chris Brown
Mmoja waandaji wa show hiyo Thandie Ojeer alihojiwa na edaily na haya ndio aliyoyazungumza…
’ Chris hakuwa na hasira kabisa, ilikuwa mara yake ya kwanza kufika Kenya na ame enjoy kuwepo Kenya, pia ameahidi kurudi siku moja na kukaa zaidi na kufanya tour next time– Thandie Ojeer
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK