AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii, wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo lakini wameshindwa kumpata msanii huyo.
“Kolabo na AliKiba ipo tayari kabisa lakini time table yake imekuwa ngumu,” alisema Aika “Mara ya pili tumepanga kushoot video lakini tumeshindwana kwa ajili ya yeye time table yake. So tukiona inazidii kuchelewa itabidi tuitoe kwa namna yoyote,”
Nahreel aliongeza, “Mara ya pili hii tumepanga kutaka kushoot video lakini yeye alikuwa yupo busy, labda safari hii tukienda MTV MAMA kama tukipata muda tunaweza kufanya kwa sababu kila kitu kipo tayari,”
Waimbaji hao wamesema plan yao ilikuwa nikuachia kolabo hiyo ikiwa na video.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK