Navy Kenzo waeleza jinsi ratiba ya AliKiba ilivyovuruga mipango yao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video.

Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii, wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo lakini wameshindwa kumpata msanii huyo.

“Kolabo na AliKiba ipo tayari kabisa lakini time table yake imekuwa ngumu,” alisema Aika “Mara ya pili tumepanga kushoot video lakini tumeshindwana kwa ajili ya yeye time table yake. So tukiona inazidii kuchelewa itabidi tuitoe kwa namna yoyote,”

Nahreel aliongeza, “Mara ya pili hii tumepanga kutaka kushoot video lakini yeye alikuwa yupo busy, labda safari hii tukienda MTV MAMA kama tukipata muda tunaweza kufanya kwa sababu kila kitu kipo tayari,”

Waimbaji hao wamesema plan yao ilikuwa nikuachia kolabo hiyo ikiwa na video.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad