AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Van Pluijm aliamua kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kupata taarifa kwamba, uongozi wa Yanga umemleta kocha kutoka Zambia George Lwandamina ili kuchukua nafasi yake.
Kwa sasa, timu itakuwa chini ya kocha Juma Mwambusi ambaye alikuwa msaidi wa Hans van Pluijm mpaka hapo klabu itakapomtangaza kocha mkuu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK