AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakizungumzia mabadiliko hayo, wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, wamesema hakuna aliyetarajia kutokea kwa hali hiyo kwani hawakutangaziwa mapema kwamba utaratibu wa utoaji mikopo umebadilika. Wengine wamedai kuwa wazazi walikuwa wamekwisha wasafirisha watoto kutoka mikoani wakitegemea udhamini kutoka bodi hiyo.
Naibu waziri wa mikopo UDSM, Abdul Nondo amesema, “Ukiangalia taarifa ambayo imetoka bodi ya mikopo kwamba itatoa fedha kwa wanafunzi ambao watasoma Sayansi,itatoa fedha kwa yatima,itatoa fedha kwa walemavu wale ambao ni maskini. Wamesema shule za kata kwa kulipa ada shilingi elfu 20/70 mpaka kufika chuo sasa hivi na kufanya vizuri. Wanapewa vigezo vya kutopewa mikopo na kubaguliwa kwamba as if they are not students.”
Kwa upande wake waziri wa mikopo wa UDSM, Kasunzi Eliud alisema, “Unaweza ukafika kuna mwanafunzi wa sayansi ni daktari lakini ametokea katika familia tajiri, tunasema familia inayojiweza. Lakini mimi mtoto wa mkulima ambaye nimeweza kusoma kwa shida kwa kuungaunga pesa mpaka nikafika chuo kikuu, leo hii vigezo vinakuja kutoka kwamba mwanafunzi anayesomea masomo ya arts hawezi kupata mkopo.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Si mliipenda wenyewe.....vumilieni mpaka akili itakapowakaa ndo mtajua umuhimu wa box
ReplyDeleteTulipenda kwa vipi?usichangie usichokijua au kuelewa,Ms
DeleteRais wetu tafadhali anangalia hili,wanafunzi wote wapate mikopo kwa nini wabaguliwe?Bora muache kujenga madaraja,hela ziende kwenye hospitali na mikopo kwa wanafunzi."HAPA KAZI TU"
ReplyDeleteKwanza hii tabia ya ubaguzi sijui imetoka wapi tabia mbaya sana mkopo kila mwanafunzi aliyefauli kwa haki apewe siyo kutuletea sijui mtoto wa familia bora au wa mkulima mpuuzi mtupu. hivi unawezaje kumuacha mtoto aliyefaulu kwa kiwango cha juu eti kisi amefaulu ARTS acheni siasa kwenye elimu mkopo si bure atakuja ulipa mpeni kama kweli anastahili
ReplyDelete