AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ngoja nikukumbushe japo kidogo kile alichokisema, “Mimi sina matatizo na watu ndio maana wakijaribu kushindana na mimi huwa wanashindwa. Hata ukiniangalia sina hata pete ya kijani kwenye vidole vyangu.”
Kumbe alikuwa amerusha jiwe gizani kwa upande wa pili. Inawezekana Alikiba ameshtuka hilo kutokana na picha aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram na kuandika, “Pete Ya Kijani 😂😂#BirthdayLoading29thNoV #KingKiba.”
Mwanzo ilionekana ilikuwa ni vita baridi ya maneno ya chini kwa chini kati ya mafahari hao lakini kwa sasa hakuna kilichojificha tena na kila kitu kipo wazi.
Wiki iliyopita hitmaker huyo wa Salome na Ommy Dimpoz walichafua hali ya hewa kwenye mtandao huo kwa kutupiana vita ya maneno ya kejeli na kukashifiana.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mchawi utamjua tu unaanza kuhisi mwenzio anakuloga kisa kavaa pete...sasa kama we sio mchawi nn unahusishaje pwte ya mtu na uchawi kama ww sio kungwi wa wachawi..
ReplyDeletemy advise king Kiba dont argue with fool mtu asujielewa hata kwenye dini ya ke hayupo so let him say or do anything kiukweli ni kwamba hakupati hata afanye nini hakufiki hata chembe you are the best dont forget that KING
ReplyDeleteUSHABIKI WA KIJINGA, HAMPATI KATIKA NINI HASA??? HUYO KIBA ANAJIELEWA PIA KWENYE MASWALA YA DINI!!!!! SHENZI KABISA MFYUUUUUUU
DeleteEnter your comment...kwa mziki wa sasa kiukweli na kiuhalali kabisa king of bongo fleva ni diamond..... uchawi upo popote pengine pete ya kichawi kweli, au pengine uongo ss hatujui tusikurupuke wanafanya biashara tu wote hao sioni kipya
ReplyDeleteEnter your comment...kwa mziki wa sasa kiukweli na kiuhalali kabisa king of bongo fleva ni diamond..... uchawi upo popote pengine pete ya kichawi kweli, au pengine uongo ss hatujui tusikurupuke wanafanya biashara tu wote hao sioni kipya
ReplyDeleteking of bongo fleva ni diamond..... penda usipende taka usitake
ReplyDelete