AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mhe. Boniface Jacob kupitia Chadema ambaye pia anaungwa mkono na UKAWA ameshinda kwa kura 16 kati ya kura 18 za wajumbe.
Matokeo hayo yametangazwa na katibu wa mkutano huo DED Kayombo na yalikuwa kama ifuatavyo;
Nafasi ya Naibu Meya wapiga kura walikuwa 18, Kura halali zilikuwa 18, kura zilizoharibika 0.
Abdul Lema wa CCM amepata kura 3, Kwangaya Ramadhani wa Ukawa amepata kura 15 hivyo Kwangaya Ramadhani (Ukawa) ndiye Naibu Meya wa almashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Nafasi ya Meya Wapiga kura walikuwa 18, Kura zote halali zilikuwa 18, Kura zilizoharibika ni 0.
Yenga CCM alipata kura 2 huku Boniface Jacob akipata kura 16.
Kwa matokeo hayo, Mhe. Boniface Jacob ndiye Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK