AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Unaambiwa Kwa Sasa hakuna cha Komando wala nini, ile bifu kubwa kuwahi kutokea kwenye game ya Bongo Flava kati ya Clouds FM na Lady Jay Dee imezikwa rasmi baada ya Uongozi wa Lady Jay Dee Kuruhusu kituo hicho cha radio kupiga nyimbo za Lady Jay Dee iwezavyo kuanzia sasa...
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
inapendeza kuskia hivyo kama mimi mdau naamini mziki wetu utazidi kufika mbali hasa kwa wasanii wa kike jide anafanya vzr sana, na akionganisha na management ya clouds ndo chakula kitalika vzr
ReplyDeleteWAME-BANA-WAME-ACHIA..........CLOUDS MEDIA GROUP NDIO MPANGO MZIMA BANA, HAPANA CHEZEIYA KABISA, UTAFIFIA HUKU UNAJIONA........
ReplyDelete