Diva Loveness Amtaka Kiba Abadili Gilfriend...Adai Jokate Anamtia Gundu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtangazaji wa Ala za Roho kipindi kinachorushwa na Clouds FM, Diva the bawse ametoa kauli kupitia mtandao wa twitter ambayo imezua gumzo kutokana na alicho kiandika.

Mwanadada Diva aliweza ku tweet kuhusiana na uwezo wa alikiba katika kuimba na kumalizia kuwa “Girlfriend anakutia gundu” kitu ambacho wengi walijiuliza inamaana Jokate (Kama inavyo julikana kuwa ndiye wa Kiba) kuwa anamtia gundu!

Mwanamuziki Alikiba ni miongoni mwa wanamuziki wenye nguvu nchini Tanzania huku akichuana kwa mashabiki na Diamond Platnumz.

Je unadhani mtazamo wa Diva kuhusu mpenzi wa Kiba ni waukweli au Alikiba anafanya muziki mzuri usio na gundu?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. UNAMTAKA KIBA WEWE,NA BAHATI MBAYA KIBA HAWEZI KUPENDA MWANAMKE KAMA WEWE.NGURUWE WEWE.

    ReplyDelete
  2. AMETOA MAONI TU HAKUTUKANA.YEYE PIA NI MWANAMKE MZURI KAMA WENZAKE AU ZAIDI.

    ReplyDelete

Top Post Ad