AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wahuni hao Wamepiga marufuku uvaaji wa boxer na Chupi kwa wanaume kwasabab ni kimagharibi badala yake unatakiwa uvae bukta ndefu inayovuka magotini ama kitambaa unachojifunga kiunoni kama taulo. Na ukibainika kuvaa hivyo hatua kali itachukuliwa dhidi yako.
Wanajeshi wa Iraq na Kurd walishangaa kukuta mabandiko hayo yanayokataza uvaaji wa Chupi na Boxers walipoukomboa mji wa Hammam Al Allil kusini mwa Mosul dhidi yao.
Pia ISIS imepiga marufuku kunyoa ndevu, kusikiliza mziki na kuvaa jeans zilizobana.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kama unajua kiarabu bango halisemi hivyo linaelekeza kwenye kuvaa nguo hizo pekee yaani chupi plain au boxer au kaptula isiyovuka magoti ni makosa kisheria,tafsiri isiyovuka rasmi "uchi wa muislamu meantime unaanzia kitovuni mpk magotini" hivyo nguo utakayovaa isitiri eneo lote tangu kitovuni hadi magotini, ndo maana waweza kuvaa suruali ndefu inayofunika kitovuni had chn lakini isiburuze chini pia waweza kuvaa kikoi tu unakuwa kisheria umestirika, boxer na chupi sikuwa ndani ruksa, nawasilisha.
ReplyDeleteUdaku special saa nyingine musitafsiri uongo munazidisha Fitina.au ndio lengo lenu.hususan kuhusu mambo ya Dini.
ReplyDeletehizo chupi na boxer si ndo zinavaliwa ndani ya hiyo kaptula na hicho kitambaa. au hivyo vinavaliwa bila kitu kingine ndani? ?
ReplyDelete